Nataka kununua simu mpya, Ninunue ipi?

nitazoea

Senior Member
Joined
Mar 15, 2017
Posts
199
Reaction score
242
Wadau nipo mbioni kununua simu mpya but napata wakati mgumu katika chaguo langu kati ya HTC M8 na LG G3 Ipi ni nzur!?ushaur wenu ni muhimu
 
Budget yako ipoje ndugu, je nilazima ununue moja kati hizo ulizotaja, unata simu mpya au used
 
weka na budget kabisa unaweza kushauriwa hata nje ya hizo.
 
Cwez kukushauri kama hujaweka budget yako
 
Kizazi cha Samsung
S8 1.7mil
S8+ 1.9mil
 
Htc m8 ndo the best kwanza ipo juu kwa soko af ina double camera mwisho kabisa bado ipo on fire
 
Utakapopata pesa ndo urudi hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…