Nataka kununua Gari aina ya IST

Pia mkuu kwanini ume recommend rangi ya silver na nyeupe pekee ??
 
Pia mkuu kwanini ume recommend rangi ya silver na nyeupe pekee ??
Rangi ni personal preference ila nyeupe na silver zinafaida zaidi. Kwa kufananisha na rangi kama nyeusi, rangi nyeupe: -rahisi kumaintain -ngumu kuchafuka -cheap kurepair -zinaficha dents na mikwaruzo midogo midogo.

Yote yanaweza kua sio technical, ila kubwa zaidi white na silver zinahakisi zaidi joto na kupelekea kua na joto dogo ndani, na ukichukulia IST ina AC vents za mbele tu.
 
Rumuion Gari nzuri sana ni ya kisasa sana. Kuliko hata IST. Kwa mdada itamfaa sana. Ina space kubwa. Haina complications kama magari mengine. Na recommend abadili mawazo aende Na RUMUION. Bei pia ni nzuri kuliko IST.
sina baiskeli hata pikipiki ila rumion ina muonekano flani sijawahi kuuelewa aisee
ninavyoiona nissan juke ndio kama rumion
 
Mkuu ukitaka kuagiza gari nje ya nchi wasiliana NAMI nitakupa usaidizi ushauri na mwonhizo mzima kuanzia kuagiza gari kulipa Kodi na kufanya clearance and forwarding agent fees lkn pia tutakusaidia kufanya usajili na kulipa BIMA

0686153806
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…