Kaka faanya mamuzi magumu...kaa nae umshukuru na umwambie ukweli kuwa hutqki tena mahusiano..tena ukimpa sababu za ukweli kama...we ni mkubwa,na wewe ulimkubali bse ya tabu..ila unandoto zako za maisha ungependa uzitimize kivyako...ukisepa kimya kimya utakuakamla mkimbizi..ukimuona kaja njia yako unakimbilia huko..ila ukiwahonest utakuwa huru daima.usihofu matatizo yameisha hivyo life itaenda tu bila msaasa wake...