Nataka kumuacha

Shosti pluto sio sayari tena imeganda...usijekufa bureeeee..... labda uishie Jupiter



Natamani kuhama hii sayari ya dunia........pale mwanaume anapokuwa anaandika hivi......why why why why........

Preta........Safarini Pluto...........
 
Kaka faanya mamuzi magumu...kaa nae umshukuru na umwambie ukweli kuwa hutqki tena mahusiano..tena ukimpa sababu za ukweli kama...we ni mkubwa,na wewe ulimkubali bse ya tabu..ila unandoto zako za maisha ungependa uzitimize kivyako...ukisepa kimya kimya utakuakamla mkimbizi..ukimuona kaja njia yako unakimbilia huko..ila ukiwahonest utakuwa huru daima.usihofu matatizo yameisha hivyo life itaenda tu bila msaasa wake...
 
Natamani kuhama hii sayari ya dunia........pale mwanaume anapokuwa anaandika hivi......why why why why........

Preta........Safarini Pluto...........
We Preta...Kwa usafiri gani huko Pluto. Wajanja wa NASA walituma chombo chao kwenda huko miaka kama tisa iliyopita, sasa hivi ndio kimeikaribia; Ukaribu gani ujue, millions of miles away. Sasa wewe na ungo wako,mmh, sijui kwa kweli!. Kwanza cheichei bibie!.
 
Last edited by a moderator:
niambie tuu km vile ulivyonambia unanitaka.. itauma bt ndy reality na life will go on.
 
Piga kimya tu no call no msg kula buyu mwazo mwisho,atapiga mpaka atachoka akikuuliza mwambie upo busy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…