Mi ni wa Bunda. Sema haraka we ni nani, utasaidiaje wilaya ya Bunda ambayo ni ya pili kwa umaskini toka mwisho.
Tueleze strategies zako na mipango yako ya kufanya watu tusafiri toka Dar to Bunda kwa ajili ya kukupigia kura. Kikubwa usiwe chama cha mapembafffff.