Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,488
Nawasalimieni JF!
Naomba kusaidiwa nifanyeje kwa huyu jirani yetu?
Yaani yeye asubh ,mchana,usiku anafungulia mziki wake kwa sauti ya juu hapa mtaani ni mziki wake tuuuu!
Hivi hakuna sheria tukamshitaki/nkamshitaki ili ajifunze kwa upuuzi wake wa kutusumbua wananchi wenzie!
Hata mawazo yakufikiria na kuplan hii migomo,mgao wa umeme n.k tunashindwa !
Nlitaka niende kwa mwenyekiti wa SM ni sawa?
Kama kuna wajuzi zaidi nsaidieni.
Nawakilisha kama nawewe uliwahi kuipata kero hii iweke humu.
Naomba kusaidiwa nifanyeje kwa huyu jirani yetu?
Yaani yeye asubh ,mchana,usiku anafungulia mziki wake kwa sauti ya juu hapa mtaani ni mziki wake tuuuu!
Hivi hakuna sheria tukamshitaki/nkamshitaki ili ajifunze kwa upuuzi wake wa kutusumbua wananchi wenzie!
Hata mawazo yakufikiria na kuplan hii migomo,mgao wa umeme n.k tunashindwa !
Nlitaka niende kwa mwenyekiti wa SM ni sawa?
Kama kuna wajuzi zaidi nsaidieni.
Nawakilisha kama nawewe uliwahi kuipata kero hii iweke humu.