Habarini wapendwa! Jaman mapenz haya! Mh! Ni story ndefu ila kwa kifup niliachana naye mwshon mwa mwaka jana baada y kuniambia ameoa ilinium sana but kw ujasiri nkamwmbia aendlee na mkewe aniache kwan altak 2endlee na uhusiano,nikatuplia mbal kumbkumb zake na kujpa moyo atlst ilinisaidia kuondoa machungu moyoni.asa toka juzi nimekuw nikimuwaza sana had nataman kumtafta but najizuia kwan haitanisaidia then ctak ajue kuw nammis japo nilitaman sana awe wangu w maish but nd hvy mung hajapanga.sasa nifanyaje ili NIMSAHAU KABSA?pleease help me!
Habarini wapendwa! Jaman mapenz haya! Mh! Ni story ndefu ila kwa kifup niliachana naye mwshon mwa mwaka jana baada y kuniambia ameoa ilinium sana but kw ujasiri nkamwmbia aendlee na mkewe aniache kwan altak 2endlee na uhusiano,nikatuplia mbal kumbkumb zake na kujpa moyo atlst ilinisaidia kuondoa machungu moyoni.asa toka juzi nimekuw nikimuwaza sana had nataman kumtafta but najizuia kwan haitanisaidia then ctak ajue kuw nammis japo nilitaman sana awe wangu w maish but nd hvy mung hajapanga.sasa nifanyaje ili NIMSAHAU KABSA?pleease help me!
kwahiyo tunaruhusiwa ku-apply??aaah!nshamtupilia kuleee! Mungu wa ajabu sana!
Dada usiumize moyo wako mana unaweza pata matatizo makubwa zaidi ya ayo,We mtafute mtoe out sehemu unazujua anazipenda piga na story akitaka mzigo mpe ki ukweli baada ya apo na wewe utakuwa umeshamaliza dukuduku lako kiasi akija mwenye nia ya kukuoa utakuwa free kuwa nae kuliko kujiweka kwenye mawazo kama ayo.mtafute umpe.Mh! Harakat nashkuru kw ushauri wako tatzo ameshaoa unadhani nitakuw na furaha kama ilivyokuw zaman nahc ndo ntaumia zaid nkisema niwe nae huku tayari anawake wife aisee acha nivumilie may be yataisha.
Habarini wapendwa! Jaman mapenz haya! Mh! Ni story ndefu ila kwa kifup niliachana naye mwshon mwa mwaka jana baada y kuniambia ameoa ilinium sana but kw ujasiri nkamwmbia aendlee na mkewe aniache kwan altak 2endlee na uhusiano,nikatuplia mbal kumbkumb zake na kujpa moyo atlst ilinisaidia kuondoa machungu moyoni.asa toka juzi nimekuw nikimuwaza sana had nataman kumtafta but najizuia kwan haitanisaidia then ctak ajue kuw nammis japo nilitaman sana awe wangu w maish but nd hvy mung hajapanga.sasa nifanyaje ili NIMSAHAU KABSA?pleease help me!
acha uzinzi!
Mh! Harakat nashkuru kw ushauri wako tatzo ameshaoa unadhani nitakuw na furaha kama ilivyokuw zaman nahc ndo ntaumia zaid nkisema niwe nae huku tayari anawake wife aisee acha nivumilie may be yataisha.
::
Chukua kalamu na karatasi ukiwa peke yako..
Andika kila kitu kumhusu yeye na jinsi unavyompenda..
Eleza waziwazi hisia zako usivyoweza kuishi bila yeye..
Ukimaliza choma moto karatasi hizo.
Fanya hivyo kila unapomkumbuka itafika mahali utaweza kutofautisha maisha ya sasa na ya zamani,na utasonga mbele.
=
Habarini wapendwa! Jaman mapenz haya! Mh! Ni story ndefu ila kwa kifup niliachana naye mwshon mwa mwaka jana baada y kuniambia ameoa ilinium sana but kw ujasiri nkamwmbia aendlee na mkewe aniache kwan altak 2endlee na uhusiano,nikatuplia mbal kumbkumb zake na kujpa moyo atlst ilinisaidia kuondoa machungu moyoni.asa toka juzi nimekuw nikimuwaza sana had nataman kumtafta but najizuia kwan haitanisaidia then ctak ajue kuw nammis japo nilitaman sana awe wangu w maish but nd hvy mung hajapanga.sasa nifanyaje ili NIMSAHAU KABSA?pleease help me!