Nataka kumsahau kabsa!

Nataka kumsahau kabsa!

Munkari

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
8,084
Reaction score
4,363
Habarini wapendwa! Jaman mapenz haya! Mh! Ni story ndefu ila kwa kifup niliachana naye mwshon mwa mwaka jana baada y kuniambia ameoa ilinium sana but kw ujasiri nkamwmbia aendlee na mkewe aniache kwan altak 2endlee na uhusiano,nikatuplia mbal kumbkumb zake na kujpa moyo atlst ilinisaidia kuondoa machungu moyoni.asa toka juzi nimekuw nikimuwaza sana had nataman kumtafta but najizuia kwan haitanisaidia then ctak ajue kuw nammis japo nilitaman sana awe wangu w maish but nd hvy mung hajapanga.sasa nifanyaje ili NIMSAHAU KABSA?pleease help me!
 
::
Chukua kalamu na karatasi ukiwa peke yako..
Andika kila kitu kumhusu yeye na jinsi unavyompenda..
Eleza waziwazi hisia zako usivyoweza kuishi bila yeye..
Ukimaliza choma moto karatasi hizo.
Fanya hivyo kila unapomkumbuka itafika mahali utaweza kutofautisha maisha ya sasa na ya zamani,na utasonga mbele.
=
 
::
Chukua kalamu na karatasi ukiwa peke yako..
Andika kila kitu kumhusu yeye na jinsi unavyompenda..
Eleza waziwazi hisia zako usivyoweza kuishi bila yeye..
Ukimaliza choma moto karatasi hizo.
Fanya hivyo kila unapomkumbuka itafika mahali utaweza kutofautisha maisha ya sasa na ya zamani,na utasonga mbele.
=

Mi nashauri akimaliza kuandika hayo, amtumie huyo bwana badala ya kuchoma.
 
Habarini wapendwa! Jaman mapenz haya! Mh! Ni story ndefu ila kwa kifup niliachana naye mwshon mwa mwaka jana baada y kuniambia ameoa ilinium sana but kw ujasiri nkamwmbia aendlee na mkewe aniache kwan altak 2endlee na uhusiano,nikatuplia mbal kumbkumb zake na kujpa moyo atlst ilinisaidia kuondoa machungu moyoni.asa toka juzi nimekuw nikimuwaza sana had nataman kumtafta but najizuia kwan haitanisaidia then ctak ajue kuw nammis japo nilitaman sana awe wangu w maish but nd hvy mung hajapanga.sasa nifanyaje ili NIMSAHAU KABSA?pleease help me!

Mi nakushauri wasiliana nae tu.... Bwana weee mapenzi ayajuaye mwenye kupata utamu!
 
Habarini wapendwa! Jaman mapenz haya! Mh! Ni story ndefu ila kwa kifup niliachana naye mwshon mwa mwaka jana baada y kuniambia ameoa ilinium sana but kw ujasiri nkamwmbia aendlee na mkewe aniache kwan altak 2endlee na uhusiano,nikatuplia mbal kumbkumb zake na kujpa moyo atlst ilinisaidia kuondoa machungu moyoni.asa toka juzi nimekuw nikimuwaza sana had nataman kumtafta but najizuia kwan haitanisaidia then ctak ajue kuw nammis japo nilitaman sana awe wangu w maish but nd hvy mung hajapanga.sasa nifanyaje ili NIMSAHAU KABSA?pleease help me!

Yamekukuta eeehh!!!! Ndio dunia hiyo! Pole sana.
 
Naomba usijinyime huwa feelings ni tofauti sana mm hii kitu imeshawahi kunikuta
ilichukua muda sana mpaka kumuondoa kwenye moyo ilibidi nikubali kuwa nae
ila huyu alikua mdada baada ya miaka miwili hivi ndo niliweza kumtoa kwenye moyo
ila bado ana nafasi kubwa sana.
ukisema unamuondoa unajidanganya na kujiumiza mwenyewe jipe muda litaondoka
taratibu na yeye akiwepo
 
Mtu mwenyewe unaempenda ana roho mbayaaaa.
Agrrr....rrrrr..! Sijui nawe ukoje! Namchukia kama nini! Au nawe unataka kufanana nae!
 
Mh! Harakat nashkuru kw ushauri wako tatzo ameshaoa unadhani nitakuw na furaha kama ilivyokuw zaman nahc ndo ntaumia zaid nkisema niwe nae huku tayari anawake wife aisee acha nivumilie may be yataisha.
 
Tatizo la wachezeaji huwa wanajua sana kukuna kipele. Kipele chako kilipata mkunaji, shauri yako utajibeba
 
::Chukua kalamu na karatasi ukiwa peke yako..Andika kila kitu kumhusu yeye na jinsi unavyompenda..Eleza waziwazi hisia zako usivyoweza kuishi bila yeye..Ukimaliza choma moto karatasi hizo.Fanya hivyo kila unapomkumbuka itafika mahali utaweza kutofautisha maisha ya sasa na ya zamani,na utasonga mbele.=
Jesus Christ...!
 
Tafuta jamaa mwingine yeyote hapo Mtaani au jirani wa kukupetpet hatimaye utamsahau.
Kama humu JF kuna jamaa wengi tu wanajua kuwahudumia kwa kila kitu mpaka utamsahau hebu wasiliana na Bujibuji au ChaiCHUNGU na wengineo lukuki.
Huyo jamaa haikuwa rizki na hukupangiwa vuta subira ukikua utasahau
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom