Nataka kumlipia Amber Heard Fidia ya $ 10 M kwa Johnny Depp

Stress Challenger

JF-Expert Member
Feb 24, 2022
1,778
4,286
Siyo eti nampenda ama natafuta sifa za kijinga. Hapana, kwanza tu she's not my type too much skinny and 'flat-screen' halafu ni mzungu not my type at all. Mimi ugonjwa wangu ni kwa Mabantu.

Ila namuonea tu huruma anavyolialia hana iyo hela million 10 dollar alizoamuriwa na mahakama amlipe Jonny Depp fidia.

Ni kiasi kidogo sana cha pesa kwangu. Pia nataka kuwadhihirishia mizungu ambayo inamadharau kuwa kuna Nigger huku ni billionaire mstaarabu ambaye ana uwezo wa kununua nafaka zote za Ukraine.

Mimi na mkono wa kutoa sana tu. Kuna mamilion ya watu wanaenda chooni lakini sipazi sauti wala kutafuta SIFA ZA KIJINGA.

Hata zile mabilion za miarabu ambazo wameshatafuna naweza kuwarudishia zote kutoka mfukoni mwangu na kuwapa hao miarabu ili wawaache ndugu zetu wamasai katika ardhi yao ya asili wanayomiliki kihalali.

Kwa iyo namtafuta Amber Heard nimpe iyo dollars million 10 amlipe Johnny Depp Fidia

Matola wa kupuliza Ncha Kali Prince Kunta Chaliifrancisco Kashaulo
 
Siyo eti nampenda ama natafuta sifa za kijinga. Hapana, kwanza tu she's not my type too much skinny and 'flat-screen' halafu ni mzungu not my type at all. Mimi ugonjwa wangu ni kwa Mabantu...
duh! hatari kubwa,naona hii bangi ya leo umevutia makalioni..!
 
Duh..hebu hiyo hela saidia kuwakodia malori wamasai wabebe mifugo yao kupeleka Msomera
 
Wewe ni Kidukulilo? Mnafanana mwandiko.
Siyo eti nampenda ama natafuta sifa za kijinga. Hapana, kwanza tu she's not my type too much skinny and 'flat-screen' halafu ni mzungu not my type at all. Mimi ugonjwa wangu ni kwa Mabantu.

Ila namuonea tu huruma anavyolialia hana iyo hela million 10 dollar alizoamuriwa na mahakama amlipe Jonny Depp fidia.

Ni kiasi kidogo sana cha pesa kwangu. Pia nataka kuwadhihirishia mizungu ambayo inamadharau kuwa kuna Nigger huku ni billionaire mstaarabu ambaye ana uwezo wa kununua nafaka zote za Ukraine.

Mimi na mkono wa kutoa sana tu. Kuna mamilion ya watu wanaenda chooni lakini sipazi sauti wala kutafuta SIFA ZA KIJINGA.

Hata zile mabilion za miarabu ambazo wameshatafuna naweza kuwarudishia zote kutoka mfukoni mwangu na kuwapa hao miarabu ili wawaache ndugu zetu wamasai katika ardhi yao ya asili wanayomiliki kihalali.

Kwa iyo namtafuta Amber Heard nimpe iyo dollars million 10 amlipe Johnny Depp Fidia

Matola wa kupuliza Ncha Kali Prince Kunta Chaliifrancisco Kashaulo
 
Siyo eti nampenda ama natafuta sifa za kijinga. Hapana, kwanza tu she's not my type too much skinny and 'flat-screen' halafu ni mzungu not my type at all. Mimi ugonjwa wangu ni kwa Mabantu.

Ila namuonea tu huruma anavyolialia hana iyo hela million 10 dollar alizoamuriwa na mahakama amlipe Jonny Depp fidia.

Ni kiasi kidogo sana cha pesa kwangu. Pia nataka kuwadhihirishia mizungu ambayo inamadharau kuwa kuna Nigger huku ni billionaire mstaarabu ambaye ana uwezo wa kununua nafaka zote za Ukraine.

Mimi na mkono wa kutoa sana tu. Kuna mamilion ya watu wanaenda chooni lakini sipazi sauti wala kutafuta SIFA ZA KIJINGA.

Hata zile mabilion za miarabu ambazo wameshatafuna naweza kuwarudishia zote kutoka mfukoni mwangu na kuwapa hao miarabu ili wawaache ndugu zetu wamasai katika ardhi yao ya asili wanayomiliki kihalali.

Kwa iyo namtafuta Amber Heard nimpe iyo dollars million 10 amlipe Johnny Depp Fidia

Matola wa kupuliza Ncha Kali Prince Kunta Chaliifrancisco Kashaulo
Napendaga sana wadau wa JF maaana wengi ni wasomi ila wana tabia za kujisifu na KUJIONA🤣🤣🤣🤣🤣😍hizi mikwara nazipendaga sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom