Nataka kujiunga na TANAPA

naisifu nchi yangu maarufu....
hellow hellow tanzania...............
ukiwa mtt wa mkulima; sahau TANAPA, TRA, BOT....
njoo uwe afisa mtendaji kata
 
wanyama pori sio mifugo, so ukisoma mifugo utatibu wanyama wafugwao, unaweza kusoma wildlife hata PHD na pai usipate nafasi, cha msingi panua ufahamu wako,usiwazie TANAPA waza worldwide the let it happen accidental cause ukuwa very narrow ni risk, u might regret
 
kasome mweka huko, pasi nini sijui..diploma ya mifugo sikushauri, nenda tanapa kama askari, tatizo utakuta ulifeli fom 4 na siku hizi ata askar anatakiwa afaulu utata unaanzia hapa...,

Nina 4 ya 26..... Nina c-ya physics, c-ya English, na d masomo 7 yanayobakia....
 
Aisee vip ulifanikiwa kupata tanapa ?
 
Natumaini ulipata kazi huko Tanapa maana ni miaka mitano imetimia yangu uweke hili bandiko
 

TNPSS F ni million ngap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…