kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,356
- 789
Mimi si mtu mashughuli wala sio mwanasiasa ni hatua na taratibu gani za kufuata ili niweze kutimiza azma yangu hiyo bila kuathiri sheria za nchi.
Inahusu nini hilo niachieni mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inahusu nini hilo niachieni mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app