kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Baada ya kesho kua natakiwa kusafiri ningependa mchango wako wa mawazo katika hili!
Majuzi nimeongea na wateja wanne jana wamekuja wawili mmoja alipowaona akaahidi atafika Leo asubui kuwachukua, hadi sasahivi hajafika.
Mwingine alienda jana jioni akasema wadogo kibiashara Hawezi Chinja.. Wapo wa 3 na wana miezi 7 lakini rate yao ya ukuaji sio nzuri.
Tafadhali naomba ushauri katika hili
NB: Huku sio mzawa na sina mtu wa kumwachia kuwa atawatumikia kwa uaminifu, asanteni.
Majuzi nimeongea na wateja wanne jana wamekuja wawili mmoja alipowaona akaahidi atafika Leo asubui kuwachukua, hadi sasahivi hajafika.
Mwingine alienda jana jioni akasema wadogo kibiashara Hawezi Chinja.. Wapo wa 3 na wana miezi 7 lakini rate yao ya ukuaji sio nzuri.
Tafadhali naomba ushauri katika hili
NB: Huku sio mzawa na sina mtu wa kumwachia kuwa atawatumikia kwa uaminifu, asanteni.