MAKA PEN
Member
- Feb 23, 2015
- 20
- 6
Wadau habari.
Kwa mtu yeyote yule anaifahamu vizuri biashara ya nywele zinazotoka nchini China naomba anifahamishe, sina uelewa kabisa na hii biashara. Ningependa niifahamu vizuri nione kama inafaa au la.
Nimepata supplier mmoja kutoka China, amesema wao wanauza kwa kilo. Ambapo nusu kilo wanauza 35 USD, kwahiyo sijafahamu ukija nchini unauzaje ni kwamba unazipunguza toka nusu kilo na kutenga kidogo kidogo na kuanza kuuza.
Endapo nikaamua kuchukua nusu kilo kwa dollar 35, je unadhani naweza kupata faida ukijumlisha gharama za kusafirisha pamoja na ushuru wa TRA.
Karibuni sana wadau tujadiliane ili tujue ni namna gani tunaweza kujiongezea kipato.
============================================
Kwa mtu yeyote yule anaifahamu vizuri biashara ya nywele zinazotoka nchini China naomba anifahamishe, sina uelewa kabisa na hii biashara. Ningependa niifahamu vizuri nione kama inafaa au la.
Nimepata supplier mmoja kutoka China, amesema wao wanauza kwa kilo. Ambapo nusu kilo wanauza 35 USD, kwahiyo sijafahamu ukija nchini unauzaje ni kwamba unazipunguza toka nusu kilo na kutenga kidogo kidogo na kuanza kuuza.
Endapo nikaamua kuchukua nusu kilo kwa dollar 35, je unadhani naweza kupata faida ukijumlisha gharama za kusafirisha pamoja na ushuru wa TRA.
Karibuni sana wadau tujadiliane ili tujue ni namna gani tunaweza kujiongezea kipato.
============================================
Biashara ya saluni inalipa sana. Mfano dazeni ya nywele za bandia ni sh.12000 tu (kwa bei ya jumla jumla) ambapo kwa reja reja kila pic moja inauzwa sh.1600 tu.
Hivyo ukiwa na dazeni 100 na kila dazeni ina pic 12 ili itimie dazeni, hivyo,
Kila pic moja kama utaiuza sh.1600 utapata faida ya sh.19,200 (yaani 12 zidisha kwa sh.1600)
Hivyo, chukua faida ya dazeni moja ambayo ni sh. 19,200 zidisha kwa dazeni 100 utapata sh.1,920,000. Hata ukifanikiwa kumaliza hizo dazeni ndani ya mda mfupi hiyo hela itakuwa yako yaani faida.
KUMBUKA: Hapo unahitaji mtaji wa sh.1,200,000 tu. Pia biashara hii hakikisha huna Tabia za kutamani tamani wanawake maana faida hutaiona!
Kazi ni kwenu sasa!