Zaiidyao Member Joined Mar 15, 2020 Posts 12 Reaction score 5 Mar 29, 2021 #1 Habari zenu ndugu zangu, nina mpango wa kuanzisha duka la vifaa vya pikipiki, ningependa kujuzwa mengi kuhusiana na biashara hii. Binafsi hadi sasa nina mtaji wa 1m. Karibuni.
Habari zenu ndugu zangu, nina mpango wa kuanzisha duka la vifaa vya pikipiki, ningependa kujuzwa mengi kuhusiana na biashara hii. Binafsi hadi sasa nina mtaji wa 1m. Karibuni.
analyst75 JF-Expert Member Joined Jun 24, 2015 Posts 326 Reaction score 242 Mar 30, 2021 #2 Will still learn this language one day.
Gien Banks JF-Expert Member Joined Sep 10, 2018 Posts 342 Reaction score 904 Apr 5, 2021 #3 So far kuna watu kama 3 nawajua hii biz inawaendea vizuri na wanaonekana. Tho sijawahi wauliza imekaaje Ngoja tusubiri hapa.
So far kuna watu kama 3 nawajua hii biz inawaendea vizuri na wanaonekana. Tho sijawahi wauliza imekaaje Ngoja tusubiri hapa.
Seneta Wa Mtwiz JF-Expert Member Joined Sep 23, 2013 Posts 3,643 Reaction score 4,184 Apr 6, 2021 #4 Zaiidyao said: Habari zenu ndugu zangu, nina mpango wa kuanzisha duka la vifaa vya pikipiki, ningependa kujuzwa mengi kuhusiana na biashara hii. Binafsi hadi sasa nina mtaji wa 1m. Karibuni. Click to expand... NAKUPA MWONGOZO. [emoji116] OIL YA ORYX CARTON MOJA YAUZWA 150,000/-, WEWE UKIUZA UNAPATA 168,000/-, KWA HIYO FAIDA NI 18,000/-.
Zaiidyao said: Habari zenu ndugu zangu, nina mpango wa kuanzisha duka la vifaa vya pikipiki, ningependa kujuzwa mengi kuhusiana na biashara hii. Binafsi hadi sasa nina mtaji wa 1m. Karibuni. Click to expand... NAKUPA MWONGOZO. [emoji116] OIL YA ORYX CARTON MOJA YAUZWA 150,000/-, WEWE UKIUZA UNAPATA 168,000/-, KWA HIYO FAIDA NI 18,000/-.