Nataka kubadilisha akaunti ya mshahara

Nataka kubadilisha akaunti ya mshahara

Am For Real

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2023
Posts
336
Reaction score
817
Kutoka CRDB kwenda NMB maana Kijiji nilichopo hamna Benki Wala wakala wa CRDB kwahiyo gharama ya kutoa pesa ni mara mbili.Lazima utume kwenye laini ya simu wakate Kisha utoe kwenye simu wakate.

Naombeni kujua inachukua muda gani kubadili akaunti Toka benki Moja kwenda nyingine na je nikibadilisha sasa hivi Kuna uwezekano nikakosa mshahara wa mwezi huu au ni safe and sound process.
 
Kutoka CRDB kwenda NMB maana Kijiji nilichopo hamna Benki Wala wakala wa CRDB kwahiyo gharama ya kutoa pesa ni mara mbili.Lazima utume kwenye laini ya simu wakate Kisha utoe kwenye simu wakate.

Naombeni kujua inachukua muda gani kubadili akaunti Toka benki Moja kwenda nyingine na je nikibadilisha sasa hivi Kuna uwezekano nikakosa mshahara wa mwezi huu au ni safe.
Kama mfanyakazi wa CCM 🤣🤣🤣 utasotaa
 
Simple sana sema sijui structure ya madaraka ofisini kwenu. Hapa kwetu (Taasisi) yaani naandika barua leo kesho HR anaingia kwenye system anabadirisha.
Nadhani huyo mwenzetu yupo Chini ya TAMISEMI utaratibu wake hapo nadhani afafanuliwe afike ofisi ipi
 
ongea na afisa utumishi atakuambia cha kufanya
 
Andika barua ipite kwa mkuu wako wa shule,then DEO then mkurugenzi unaweka iyo account namba watakubadilishia soon ila iwe kabla ya tar 15 maana ndo uhakiki wa mwisho unafanyika kwa ajili ya malipo ya mshahara
 
Back
Top Bottom