Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Nataka nianze kufanya huduma ya kuwafanyia massage wanawake,Huduma itakuwa ni through mobile ofisi mkononi kwangu,
Kama ambavyo wasafisha kucha wanatoa huduma nami nataka kuitoa hiyo Huduma Kwa kina Dada/Wanawake nyumbani au sehemu yeyote wanayoitaji, ukitaka huduma unanipigia simu nakuletea ulipo
Ninachoitaji ni kujua tu vifaa muhimu vinavyoitajika kwenye huduma hii ya massage,
Kwangu nitamtafuta mtu anitengenezee Na website plus printed tishirt nataka iwe modern Siyo local.
Cc_Zero IQ
Kama ambavyo wasafisha kucha wanatoa huduma nami nataka kuitoa hiyo Huduma Kwa kina Dada/Wanawake nyumbani au sehemu yeyote wanayoitaji, ukitaka huduma unanipigia simu nakuletea ulipo
Ninachoitaji ni kujua tu vifaa muhimu vinavyoitajika kwenye huduma hii ya massage,
Kwangu nitamtafuta mtu anitengenezee Na website plus printed tishirt nataka iwe modern Siyo local.
Cc_Zero IQ