Nipo Dodoma kakaMkuu unapatikana wapi nkuelekez kitu cha kufanya? Ili uendane vzr na mahitaji ya wanachuo, pia bei chee si unajua wanafunzi walivyomabairi af wapenda vzr?!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza naomba nikupongeze sana chief.....Sorry guys nataka niwe nazungusha nguoo za kike za mitumba vyuoni je inaweza kunisaidia na kunifikisha sehemu nzuri...maana nimemalizaa chuo mpaka Sasa ajira. Ngumu..
Ushauri wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaweza iko poa tu,Sorry guys nataka niwe nazungusha nguoo za kike za mitumba vyuoni je inaweza kunisaidia na kunifikisha sehemu nzuri...maana nimemalizaa chuo mpaka Sasa ajira. Ngumu..
Ushauri wadau
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu nguo za kike zitakusumbua Sana, coz lzm itakuwa bei kubwa.......Na watoto wa kike kupata vitu wanavyotaka na kuridhizika ni ngum..............sasa nakushauri tafuta boksa za kiume Bob ziwe nzuri uuze hapo Dom
Chief umeziona hizo Boksa.......kkoo ni sh 3500 bei ya jumla, ili uwe Na pic 100 inatakiwa uwe Na 350000, ukiuza kila moja 5000 utapata500000 faida ya 150000 , ukiondoa usafiri imagine laki ndio faida.......hizi boksa ni Nzuri!!!!! Mimi mwenyew natembeza chuo ila dar
Ansante kkKwanza naomba nikupongeze sana chief.....
Kwa jinsi ulivyo jieleza, naomba nisiandike mengi na kujaza saver ya Melo.
Naiona kesho yako kwa karibu sana ukifanikiwa kwa kasi ya ajabu, na kwa wazo lako la kuweka vyeti na bahasha pembeni kisha kuingia sokoni na kutafuta walaji.......
Naomba nikupongeze tena, na hakika naona kama tayari umesha fanikiwa kwenye hatua ya kwanza kwa kujikubali.
boksa biashara ngumu mkuu maana wanaume hawavaagi chupi nakumbuka nilichukuaga boksa za JM nilipata tabu kuziuzaChief umeziona hizo Boksa.......kkoo ni sh 3500 bei ya jumla, ili uwe Na pic 100 inatakiwa uwe Na 350000, ukiuza kila moja 5000 utapata500000 faida ya 150000 , ukiondoa usafiri imagine laki ndio faida.......hizi boksa ni Nzuri!!!!! Mimi mwenyew natembeza chuo ila darView attachment 988673
Sent using Jamii Forums mobile app