Dr criminal
JF-Expert Member
- May 16, 2022
- 2,278
- 4,270
Wakuu
Zile takwimu za sensa tumepigwaaaa,, alisikika mlevi mmoja kilabuni sema tuachane nae.
Wakuu mi kuna jambo limekuwa likiniwazisha sana, hivi hizi kesi za kuuwana na wengine kujiua Kila kukicha kisa mapenzi shida ni nini hasa, why??,,
Sawa ulimgharamia sanaa, ulimsomesha, lakini uiondoe roho yake seriously??
Ndio ulimpenda sana leo kaenda Kwa mwingine ndio ujiondoe roho yako, come on, what the hell!!
Sasa mimi nimewaza niandike kitabu, title itakuwa "HOW TO MOVE ON"(Tunaweza ku-suggest jina lingine ila lengo ni kuelimisha watu jinsi ya kuvuka salama kipindi Cha mpito Cha kutendwa)
Nnachotaka kutoka kwenu ni mawazo na ideas mbalimbal ambazo Kwa namna moja ama nyingine zinaweza kumsadia mtu akasahau maumivu ya kutendwa au akaishi na hayo maamuzi Kwa usalama.
Mimi ntachukua hayo mawazo na kuyakusanya katika muundo wa kitabu, jina la mwandishi litakuwa ni la jukwaa letu pendwaaa MMU na ntakuja ku-share hapa soft copy muuisambaze kadri mtavyoweza.
Karibuni jamani mlete mawazo yenu kizazi kinaangamia hiki Kwa kukosa maarifa.
#OneDayYouWillBeGone
Dr criminal
Zile takwimu za sensa tumepigwaaaa,, alisikika mlevi mmoja kilabuni sema tuachane nae.
Wakuu mi kuna jambo limekuwa likiniwazisha sana, hivi hizi kesi za kuuwana na wengine kujiua Kila kukicha kisa mapenzi shida ni nini hasa, why??,,
Sawa ulimgharamia sanaa, ulimsomesha, lakini uiondoe roho yake seriously??
Ndio ulimpenda sana leo kaenda Kwa mwingine ndio ujiondoe roho yako, come on, what the hell!!
Sasa mimi nimewaza niandike kitabu, title itakuwa "HOW TO MOVE ON"(Tunaweza ku-suggest jina lingine ila lengo ni kuelimisha watu jinsi ya kuvuka salama kipindi Cha mpito Cha kutendwa)
Nnachotaka kutoka kwenu ni mawazo na ideas mbalimbal ambazo Kwa namna moja ama nyingine zinaweza kumsadia mtu akasahau maumivu ya kutendwa au akaishi na hayo maamuzi Kwa usalama.
Mimi ntachukua hayo mawazo na kuyakusanya katika muundo wa kitabu, jina la mwandishi litakuwa ni la jukwaa letu pendwaaa MMU na ntakuja ku-share hapa soft copy muuisambaze kadri mtavyoweza.
Karibuni jamani mlete mawazo yenu kizazi kinaangamia hiki Kwa kukosa maarifa.
#OneDayYouWillBeGone
Dr criminal