YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 569
Nakumbuka Mwaka 2015 Ndio Ilikua Mwisho Wangu Wa Kununua Bidhaa Kutoka Ebay. Kipindi Hicho Nilikua Interested Na Electronics Hivyo Nilinunua Vifaa Hivyo.
Lakini Siku Vinafika Posta Naenda Kuvichukua Nikakuta Vimefunguliwa. Kwa Kweli Nilifikiria Sanaa Nikasema Nimevipata Kwa Sababu Vitu Kama Capacitors Wasingeweza Kuvielewa. Ila Najiuliza Ingekuaa Simu Wangeiacha Kweli?
Naomba Kufahamishwa Kwa Nini Wanafungua Mizigo Na Badala Ya Ku'Scan Kwenye Machine Zile
Sent from my iPhone using JamiiForums
Lakini Siku Vinafika Posta Naenda Kuvichukua Nikakuta Vimefunguliwa. Kwa Kweli Nilifikiria Sanaa Nikasema Nimevipata Kwa Sababu Vitu Kama Capacitors Wasingeweza Kuvielewa. Ila Najiuliza Ingekuaa Simu Wangeiacha Kweli?
Naomba Kufahamishwa Kwa Nini Wanafungua Mizigo Na Badala Ya Ku'Scan Kwenye Machine Zile
Sent from my iPhone using JamiiForums