Huyo unaemsema ana uhusiano gani na mimi?
Truee kabisateam yess boss... tunawakilishwa hapa na post nzuri ya kumkatisha tamaa zaidi..
we nawe ni mvivu kweli kweli kwa io umeona ushauri wako ni bora sanaaa kuliko wote mpk uamue kwenda kuutolea Huko PM? what a potential clandestine do u have?Usiache ni pm nikupe ushauriii
Kama kweli huyu jamaa ni tajiri mkubwa,kasema 3.5 million ila yeye ameandika 3.5 millions. Pesa yote hiyo si unafanya kila unachokitaka na unawekeza.Kama ni kweli basi kuna tatizo mahli katika mifumo na akili zetu.Sipendi ujinga.3.5 laki au tsh?
Mawazo mazuri kama haya ingebidi tuwe tunalipia,,,,asante mkuu, nmepata cha kujifunza toka kwakoKama moyo wako unakutuma kuacha kazi basi acha,ila usiache ili uende kulima...kilimo cha bongo kitakufirisi utajuta maisha yako yote.
Anza na biashara ya kuiona hela daily, then utalima ukiwa na misingi.
Daaah.,,,mkuu,,,unamaanisha 16.5 milion taslimu?????,,,,ama kweli njaa sio ya wotekama kweli umeamua toka moyo.. narudia tena toka moyoni na uko radhi kuface challenges ahead acha kazi. Mimi nilikua nafanya kazi katika mgodi flani na nilikua nalipwa 16.5M na ilinichukua miaka mingi kufikia uamuz wa kwako wa kuacha kazi ila mwishon nilifanikiwa nikaanza na biashara na Nashukuru Mungu mambo co mabaya ila usitarajie mafanikio ya haraka maana kuna kipindi hata ile pesa niliyokua naipata kama mshahara nilikua naitaman so usivunjike moyo na KARIBU kwenye Ujasiriamali.
Mimi binafsi sishaur mtu kuajirwa na fanya biashara kwani hao watu utakaowaachia hiyo biashara yako hawana uchungu wowote na hela yako kwan hawajui shiling ngap ni faida na ngap ni hasara trust me utafunga hata kabla ya mwaka kupita. Nmepata hasara ya zaidi ya 14 mil kutokana na hilo wazo la kukomaa kwanza kwenye ajira then hela niweke kwenye biashara. Fikiria Bill Gates angeajirwa microsoft inhekuwepo. Kikubwa usiwe na hofu na maamuzi yako yaamin kwanza maamuzi yako plus kabla ya kutoka hakikisha kwanza familia yako umewajenga kisaikolojia kwa hilo unalitaka kufanya kwani mnaweza kupitia kipindi kigumu lakin wawetayari kwa lolote ni muwetayar kufarijiana na sio kulaumiana kwamba baba unaona sasa hatuwez hata kula nyama mwez mzma. Na ugumu ni kipind cha mwanzo tu. Kkubwa kuwa na connction na taarifa sahihi kuhusu unachotaka kufanyathen hapo fanyamaamuzi magumu. Mm nilianza kujianda kuachakazi the first day naenda kuripoti kazi baada ya mwez nilianda barua ipo inasubiri siku yake. Kuna jamaa nafikiri ni chasha yeye anasema unachoma meli.Kwanza napenda kukupongeza kwa kuajiriwa, pili kunmbuka si lazima kukimbilia kuacha kazi, jaribu kuitumia hiyo ajira kama dhamana kupata mikopo ili uweze kufanya mambo yako mengine.
Kwenda kulima ni vema ila kabla ya kuingia huko jaribu kupata ushauri kutoka kwa watu ambao wana uzoefu wa kilimo ili wakueleze faida na changamoto wanazokumbana nazo ili ukiingia huko uwe umejipanga jinsi ya kupambana, maana nasikia huko kwenye kilimo kuna shida sana ya vibarua unaweza wewe ukawa chanzo tu cha kuwapatia hao vibarua ajira na wewe ukaishia kuondoka mikono mitupu!
Nina jamaa zangu kibao ambao walijiingiza kichwakichwa almanusura wawe vichaa kwa hasara waliyokutana nayo.
Usiogope kijana,huyo jamaa alikuwa mkurugenzi wa mgodi lakini aliamua kutupa jongoo na mti wake.Success is on another side of fear.Maisha haya ya leo yanataka kukaza roho sana.Daaah.,,,mkuu,,,unamaanisha 16.5 milion taslimu?????,,,,ama kweli njaa sio ya wote
Mkuu mimi niko katika ajira kama wewe ila kwa mshahara chini ya wako, na nimekuwa nafanya kazi na huku najishughulisha na kilimo & ufugaji kwa zaidi ya miaka 20 sasa. Kujiajiri kwa kutegemea kilimo tu kunahitaji kujiandaa kwa mambo mengi baadhi ni kama yafuatayo;-Wakuu;
Niko katika ajira mwaka wa nne sasa tangu nimalize shule. Gross Pay yangu ni 3.5 milioni plus. Lakini nikiangalia mbele i dont see my self being rich kwa kuendelea na maisha haya ya kuajiriwa.
Naweza Ku-raise 10Millions kama mtaji wa mwanzo ili kuondoka kwenye Ajira. Natazama maeneo mawili ya kujiajiri;
1.Kufungua Professional Firm (Partneship) itakayotoa Law services, Consultancy, Auditing and Accounting services. Ofisi zake ziwe nje ya mji.
2. Kwenda kukodi mashamba takribani hekari 30 Morogoro nilime Mpunga full time.
Naombeni mnipe Ushauri kuhusu Calculations zangu hizi.
cc Koba Ogah Mzuzu Chipukizi Pasco Patriote Asante ssalaf MeinKempf Malila dolevaby Chiwa busiminet muvimba Ukweli1 Elinanho