Unataka kwa mfipa tu? maeneo ya Sofu unapata kiwanja kizuri tuWajumbe naomba mtu yoyote mwenye connection nzuri nataka kiwanja maeneo ya Kibaha kwa Mfipa kwanzia Sqm 700
Mkuu Nina ofa nzuri maeneo ya misugusugu,heka 2 kasoro,karibu na barabaraniWajumbe naomba mtu yoyote mwenye connection nzuri nataka kiwanja maeneo ya Kibaha kwa Mfipa kwanzia Sqm 700
Unauzaji mkuuMkuu Nina ofa nzuri maeneo ya misugusugu,heka 2 kasoro,karibu na barabarani
Sent from my TECNO DP10A using JamiiForums mobile app
Hicho cha km2 nina offer ya M3Kipo kwa mfipa,km 2 ,,ukubwa huo milioni 5.
Km 4 milioni tatu na nusu
viwanja kuanzia pangani ,Lulanzi, maili moja hadi misugu sugu piga 0713 039875Wajumbe naomba mtu yoyote mwenye connection nzuri nataka kiwanja maeneo ya Kibaha kwa Mfipa kwanzia Sqm 700
Chukua 7M, linahatimiliki?
Mkuu Nina ofa nzuri maeneo ya misugusugu,heka 2 kasoro,karibu na barabarani
Sent from my TECNO DP10A using JamiiForums mobile app