Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 751
- 656
Mimi nipo hapa Kalangalala,Geita! Kama kuna mtu anauza simu aina ya X2 tujulishane,natafuta ya kununua(used)! Kama inapatikana ,naomba kujulishwa kwa nambari 0759947397
Mimi nipo hapa Kalangalala,Geita! Kama kuna mtu anauza simu aina ya X2 tujulishane,natafuta ya kununua(used)! Kama inapatikana ,naomba kujulishwa kwa nambari 0759947397
we niambie unaweza nifanyia kiasi gani,na kama kuja kuiona,nipo tayari! Nipo ver serious,niambie uko wapi!Kwanini unataka used? kwani dukani zimeisha? anyway mimi ninayo nilinunua mwaka 2011 kama sikosei. Unaitaka kwa shilingi ngapi? panda dau naweza kukuuzia.
Nina 100,000 cash,Me nipo mwanza nauza nokia x2 iyo unayotaka bei n laki 1na 40 sema pungufu yako
poa kwang mm uko mbal sana ,,subir watakuja wengneNina 100,000 cash,
Nokia X2 zipo za aina nyingi mnayozungumzia hapa ni ipo kuna ile yenye keyboard ya qwert na ila ya kawaida.
Kwanini ununue used? tuma pesa kwa MPESA 75000 tu na unipe jina la ndugu yako Dar nakutumia mpya juma pili bora utume hiyom pesa kwa mke wangu kupitia nmb hii 0719706017 mwambie mumeo Mike anasema anaweza nitumia cm mpya nikituma jhiyo hela, nipo nje nakuhakikishia nitatuma,Mimi nipo hapa Kalangalala,Geita! Kama kuna mtu anauza simu aina ya X2 tujulishane,natafuta ya kununua(used)! Kama inapatikana ,naomba kujulishwa kwa nambari 0759947397