Natafuta watoto wa paka

Mkuu mbona hao viumbe wamezagaa kwenye migahawa na mahospitali? Au hao sio unaowataka
 
Njoo huku mikoani wamejaa, haina haja hata ya kuomba.
 
Kama huko dar nenda bahari beach hotel pale wapo wengi sana ..... Yaani pale utapata aliye zaliwa juzi ,Jana hata aliye zaliwa Leo utapata tena bureeee bila malipo.......!!!
 
Mkuu mbona hao viumbe wamezagaa kwenye migahawa na mahospitali? Au hao sio unaowataka
Hao wanaitwa mapaka shume hawafugiki kabisa, nilijaribu mmoja siku ile ile alitoka maana nilimfungia ndani nikakuta kachana waya wa mbu wa dirishani bila kumkuta dirishani akichana nisingeamini kwamba ni yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…