K kidmanblessedkid Member Joined Jan 6, 2015 Posts 18 Reaction score 2 Nov 10, 2015 #1 Ninampango wa kuanzisha mradi wangu wa kutengeneza matofali kwa bei nafuu kwa kutumia technology ya ya hydraform, kwa upande wa huku arusha sijajua nawapata wapi hawa wataalum wa kutengeneza mashine hizi.kwa anayefahamu naomba anisaidie
Ninampango wa kuanzisha mradi wangu wa kutengeneza matofali kwa bei nafuu kwa kutumia technology ya ya hydraform, kwa upande wa huku arusha sijajua nawapata wapi hawa wataalum wa kutengeneza mashine hizi.kwa anayefahamu naomba anisaidie
K kideleko Member Joined Apr 13, 2014 Posts 50 Reaction score 8 Nov 10, 2015 #2 nenda SIDO,kule unga Ltd