AMO MTAFUTAJI
Member
- Nov 26, 2017
- 15
- 5
Jamani naomba msaada wenu ninabiashara ya maharage je nfanyeje ili kupata wateja katka sehemu za mashule hapa kahama mjini naomba msaada wenu wadau asanteni sana.
Uko wapi?Kama unahitaji mkuu nitext ninayo ninauza kwa shilingi 800 kilo kwa bei ya jumla
Weka namba za simu apoKama unahitaji mkuu nitext ninayo ninauza kwa shilingi 800 kilo kwa bei ya jumla
Nipo Geita, maharagwe ya njano ndio yanapatikana kwa bei hiyo Dar ninatuma kwa mtu anae chukua kuanzia tani moja na nusu kama unahitaji nitext whatsap kwa namba 0628944712Uko wapi?
Maharage ya aina gani?
Dar unaweza kutuma mzigo kuanzia kilo ngapi?
Njia za malipo za kuaminika unazoweza kutumia kwa mtu wa dar ni zipi?
Kama hutojali weka namba zako za simu.
Uko wapi na in mabarage aina gani?Kama unahitaji mkuu nitext ninayo ninauza kwa shilingi 800 kilo kwa bei ya jumla
Unapatikana mkoa ganiKama unahitaji mkuu nitext ninayo ninauza kwa shilingi 800 kilo kwa bei ya jumla
Sh800/kg !! Upo wap mkuu uniletee gunia mbili chap chapKama unahitaji mkuu nitext ninayo ninauza kwa shilingi 800 kilo kwa bei ya jumla