Natafuta wataalamu wa kupanua

Natafuta wataalamu wa kupanua

ugali dagaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
1,277
Reaction score
1,121
heshima yenu wakuu nimefanikiwa kupata vijinoti nikaona bora na mie nitafute banda la kujificha pamoja na wanaonizunguka,, hela yenyewe ya kuunga unga aise nilinunua bati za msauzi nikampa fundi kumbe hakuwa na utaalamu nazo hivyo akaniharibia kanitia hasara kama, kuna mtu anamjua mtaalamu wa kupauwa bati la msauz ani pm asiwe wale wa bei za contractors kwani najenga kwenye squatters angalia kiambatanisho
attachment.php
 

Attachments

  • IMG00330-20131128-1028.jpg
    IMG00330-20131128-1028.jpg
    79.6 KB · Views: 1,277
mtaalam wa kupauwa au kupanua, mbona heading ina tatiza?
 
Pole mkuu yupo mmoja Mkoani Njombe utakuwa tayari kumlipa gharama za kuja mjini nikupe namba yake
 
Pole sana!

VP ulikuwa na ramani ya nyumba?Maana kwa jinsi ulivyoipaua ni kama ulimchukua MTU ambaye alikuwa haangalii ramani na si mzoefu wa kazi hizo!
Anyway upo maeneo gani maana Mimi nipo kwenye industry hiyo kwa hiyo naweza kukutafutia mtaalamu.
 
heshima yenu wakuu nimefanikiwa kupata vijinoti nikaona bora na mie nitafute banda la kujificha pamoja na wanaonizunguka,, hela yenyewe ya kuunga unga aise nilinunua bati za msauzi nikampa fundi kumbe hakuwa na utaalamu nazo hivyo akaniharibia kanitia hasara kama, kuna mtu anamjua mtaalamu wa kupauwa bati la msauz ani pm asiwe wale wa bei za contractors kwani najenga kwenye squatters angalia kiambatanisho

Kaka utavyofikia steji ya Umeme usisite kunifahamisha
 
heshima yenu wakuu nimefanikiwa kupata vijinoti nikaona bora na mie nitafute banda la kujificha pamoja na wanaonizunguka,, hela yenyewe ya kuunga unga aise nilinunua bati za msauzi nikampa fundi kumbe hakuwa na utaalamu nazo hivyo akaniharibia kanitia hasara kama, kuna mtu anamjua mtaalamu wa kupauwa bati la msauz ani pm asiwe wale wa bei za contractors kwani najenga kwenye squatters angalia kiambatanisho

nenda kwa wazee wa katerero
 
heshima yenu wakuu nimefanikiwa kupata vijinoti nikaona bora na mie nitafute banda la kujificha pamoja na wanaonizunguka,, hela yenyewe ya kuunga unga aise nilinunua bati za msauzi nikampa fundi kumbe hakuwa na utaalamu nazo hivyo akaniharibia kanitia hasara kama, kuna mtu anamjua mtaalamu wa kupauwa bati la msauz ani pm asiwe wale wa bei za contractors kwani najenga kwenye squatters angalia kiambatanisho

kwani wewe hujaoa?
 
heshima yenu wakuu nimefanikiwa kupata vijinoti nikaona bora na mie nitafute banda la kujificha pamoja na wanaonizunguka,, hela yenyewe ya kuunga unga aise nilinunua bati za msauzi nikampa fundi kumbe hakuwa na utaalamu nazo hivyo akaniharibia kanitia hasara kama, kuna mtu anamjua mtaalamu wa kupauwa bati la msauz ani pm asiwe wale wa bei za contractors kwani najenga kwenye squatters angalia kiambatanisho

kupauwa piga 0719 599 906 Michael
 
heshima yenu wakuu nimefanikiwa kupata vijinoti nikaona bora na mie nitafute banda la kujificha pamoja na wanaonizunguka,, hela yenyewe ya kuunga unga aise nilinunua bati za msauzi nikampa fundi kumbe hakuwa na utaalamu nazo hivyo akaniharibia kanitia hasara kama, kuna mtu anamjua mtaalamu wa kupauwa bati la msauz ani pm asiwe wale wa bei za contractors kwani najenga kwenye squatters angalia kiambatanisho

Aaah, nilikuja fasta hadi nikadhani ni mada ya MMU na kuna mtu anatundu dogo anahitaji kupanuliwa. Kumbe ni kupaua nyumba???? Andika vizuri heading ndugu yangu
 
Aaah, nilikuja fasta hadi nikadhani ni mada ya MMU na kuna mtu anatundu dogo anahitaji kupanuliwa. Kumbe ni kupaua nyumba???? Andika vizuri heading ndugu yangu

mkuu wewe unaweza kupanua matundu?
 
Back
Top Bottom