Anko Elly
Member
- Feb 22, 2017
- 69
- 70
Hamjambo wakuu, bila kupoteza muda nahitaji kujua wapi nitapata duka linalouza hizi Staff Moka za kisasa nilizoambatanisha picha zake hapo chini.
Zingatie bei iwe nafuu na sio bei zile za Mlimani City, Mayfair, au Msasani mall.
Kama kuna mtu anauza kwa bei nafuu anifate INBOX sasa hivi. Budget yangu inacheza kwenye Tsh150k - 200k.
Zingatie bei iwe nafuu na sio bei zile za Mlimani City, Mayfair, au Msasani mall.
Kama kuna mtu anauza kwa bei nafuu anifate INBOX sasa hivi. Budget yangu inacheza kwenye Tsh150k - 200k.
