Kula vyakula vya asili tu mzee baba hayo madawa mwisho wa siku uwezo wako unaisha kabisa tengeneza ratiba kidogo ya kula vyakula vya lishe karanga, mhogo mbichi,asali,tende, karoti, maziwa mtindi kidogo ukitumia hyo aiseee hutotaka tena vumbi LA Kongo.Nina wake 2 sasa hizi kazi za siku hizi stress tupu...
hela yote hiyo!! utapewa la mninga we fanya mchezo.Wakuu mwenye vumbi.la Kongo anione pm. Nahitaji sana...
Nitampa laki bila kipingamizi.
nipe namba ya B/mdogo nimuelekeze akutengenezee vumbi la ukweli.Nina wake 2 sasa hizi kazi za siku hizi stress tupu...
tatizo wanapiga pass ndefu, mchana wengi hawali,,Kula vyakula vya asili tu mzee baba hayo madawa mwisho wa siku uwezo wako unaisha kabisa tengeneza ratiba kidogo ya kula vyakula vya lishe karanga, mhogo mbichi,asali,tende, karoti, maziwa mtindi kidogo ukitumia hyo aiseee hutotaka tena vumbi LA Kongo.
Na pia wanawake wa siku hz wanabaki kulalamika tu kwamba nguvu za kiume za waume zetu ni ndogo lakin wao wanapaswa kujua na kukuandalia lishe bora ili uwe Mara dufu zaid katika tendo
Kuna vumbi la msumbiji ndugu kama utahitaji[emoji41] [emoji41] [emoji41]Wakuu mwenye vumbi.la Kongo anione pm. Nahitaji sana...
Nitampa laki bila kipingamizi.
Laki yote hiyo wakati jamaa wanasambaza Kwa buku kumi tuWakuu mwenye vumbi.la Kongo anione pm. Nahitaji sana...
Nitampa laki bila kipingamizi.
Vumbi la Congo halibust mkuu,linatia ganziDaaaaaah hiki kuzaz cha dar kishapotea teyar nguvu za kiume mpaka kuboost
Mm nayajulia wapi hayo huwa situmii ujinga wowote zaid ya lishe na wana adisiananga shughur yakeVumbi la Congo halibust mkuu,linatia ganzi