Natafuta vifaa vya umeme

Natafuta vifaa vya umeme

Simplelady

Member
Joined
Oct 26, 2009
Posts
44
Reaction score
22
Nataka kufanya installation /wiring kwenye nyumba natafuta shemu wapouza viffa vya wiring kwa bei poa.
 
Nataka kufanya installation /wiring kwenye nyumba natafuta shemu wapouza viffa vya wiring kwa bei poa.

mkuu nipe kazi ya kukufanyia ninakampuni inadili na hiyo mambo toa kazi mkuu, achana na mfundi wa mtaani.
 
mkuu nipe kazi ya kukufanyia ninakampuni inadili na hiyo mambo toa kazi mkuu, achana na mfundi wa mtaani.

acha kuponda mafundi wa mtaani mkuu.kwani ni wazur kuliko baadh ya vikampuni.pia bei ni rahisi kuliko nyinyi.........ukipata fund mkongwe wa kitaa hakuna tabu hapo.
 
acha kuponda mafundi wa mtaani mkuu.kwani ni wazur kuliko baadh ya vikampuni.pia bei ni rahisi kuliko nyinyi.........ukipata fund mkongwe wa kitaa hakuna tabu hapo.

ok nimekuelewa ndio maana tz bado tuko nyuuma saaana,
 
mkuu nipe kazi ya kukufanyia ninakampuni inadili na hiyo mambo toa kazi mkuu, achana na mfundi wa mtaani.

nipe kazi kampuni yetu inaitwa pedro electronet co.ltd tunapatikana maeneo ya tazara call me by 0715 493382. Tutasuply na kufanya installation
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom