natafuta video camera Canon 7D

natafuta video camera Canon 7D

Sijawahi kusikia kama kuna video camera Canon 7D,au unamaanisha Canon 7D ambayo ni DSLR lakini wengi huitumia kwa kurekodi video,ni kama Canon 5D mark II /III(full Frame) zinavyotumika kuchukulia video ila kwa kuwa zinabei kubwa inabidi wengi watumie hiyo Canon 7D ambayo ni APS-C
 
Sijawahi kusikia kama kuna video camera Canon 7D,au unamaanisha Canon 7D ambayo ni DSLR lakini wengi huitumia kwa kurekodi video,ni kama Canon 5D mark II /III(full Frame) zinavyotumika kuchukulia video ila kwa kuwa zinabei kubwa inabidi wengi watumie hiyo Canon 7D ambayo ni APS-C
Kama ni canon 7D used ni kwenye million 2 sh kuendelea
 
Kama ni canon 7D used ni kwenye million 2 sh kuendelea

Ila siku hizi zimeshuka kama upo Ulaya au States unapata hat kwa Usd 700,kuna tetesi inakuja Canon 7D Mark II,nasikia pia ilitumika huko Brazil kwenye world cup kwa ajili ya majaribio ingawa ilikuwa imefunikwa na kitambaa isijulikeni lakini wajuzi wa mambo wanadhani ndio yenyewe,kusema ukweli hii ni camera nzuri sana kwa zile zisizo za full frame
 
Ila siku hizi zimeshuka kama upo Ulaya au States unapata hat kwa Usd 700,kuna tetesi inakuja Canon 7D Mark II,nasikia pia ilitumika huko Brazil kwenye world cup kwa ajili ya majaribio ingawa ilikuwa imefunikwa na kitambaa isijulikeni lakini wajuzi wa mambo wanadhani ndio yenyewe,kusema ukweli hii ni camera nzuri sana kwa zile zisizo za full frame
nielekeze wapi ninunue kwa dollar 700
 
Ila siku hizi zimeshuka kama upo Ulaya au States unapata hat kwa Usd 700,kuna tetesi inakuja Canon 7D Mark II,nasikia pia ilitumika huko Brazil kwenye world cup kwa ajili ya majaribio ingawa ilikuwa imefunikwa na kitambaa isijulikeni lakini wajuzi wa mambo wanadhani ndio yenyewe,kusema ukweli hii ni camera nzuri sana kwa zile zisizo za full frame

Hii kitu hata mimi nimeisikia lakini sina uhakikanacho naona ni kama hear say tu…na hata kama ikitoka basi hazitapishana kwa ubora wala bei. All in all Cannon 7D is the best camera
 
image.jpg
 
nilitaka kumshangaa aliposema anaweza kupata kwa dollar 700

Hawezi kupata kwa bei hiyo hii Camera...hiyo yakwangu hapo pichani imenigharimu zaidi ya Tshs millioni tano(full kit) pamoja na big bag yake.
 
nielekeze wapi ninunue kwa dollar 700

B&H na pia Wex ulizia used a ni body tu,nimesema used sababu mdau anahitaji used,haya nafikiri sasa utaenda nunua.pia unaweza kucheck Ebay
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom