Nashukuru kwa taarifa. Fundi wangu kazungukia huko leo ni karibu wiki na hajapata inayofaa. Alipata moja lakini baada ya kufunga haiku 'respond' wanavyosema, hivyo bado anaendelea kutafuta huko huko. Mimi niliona nipitie humu katika kuhangaikia suala hilo.Tembelea mitaa ya ilala, maeneo ya machinga complex kuna maduka ya used spares mitaa hiyo, unaweza ukaipata.