Ninao ukumbi wa kuchukua watu hadi 50,na mwingine una uwezo wa kuchukua hadi 300 watu.Habari... Natafuta ukumbi uliotulia na uliopo sehemu salama na inayofikika kirahisi Arusha Mjini kwa ajili ya Kuendesha seminar kwa wiki mbili.
Ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 30 tu.