Natafuta Toyota

Natafuta Toyota

nzalendo

Platinum Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,962
Reaction score
14,789
Natafuta Toyota ya aina yoyote iwe inatembea budget 2m, malumbano yanaruhusiwa!
 
Hahahaaha JF naipenda sana, mtu ana m2 anataka atembee amekaaa.so funy
 
Malumbano yanaruhusiwa..safi sana. Gari utapata tuu.Achana nao wanaokuvunja moyo.ww unataka gari,gari utapata kwa pesa hiyo.
 
Nzalendo kwa hiyo bei name kwa uzoefu wangu gari utapata tena zuri tu ila ninachokushauri usiwe na haraka ila gar utapata na wanaokudhihak kama hapo juu wanaosema hiyo hela n ya mboga achana nao waache walumbane na ujitahdi kila siku kuupdate ili tangazo lako. Nakutakia kila la kheri na ninarudia tena kwa hiyo milioni 2 gar utapata ila uwe na subira, asante.
 
Magari ya 2m yapo jamani tena yanatembea. Msimkatishe tamaa mshikaji. Ila ni kuwa makini kwenye ununuzi tu. Ila atakuwa na kazi ya kuzunguka sana, manake kila mwenye scrap atataka amuuzie.
 
Hata scraper huwa zinatembea usikate tamaa ndugu yangu utapata na uiandae simu yako kuwa na namba nyingi za mafundi kama mchangiaji hapo juu alivyokuambia
 
Natafuta Toyota ya aina yoyote iwe inatembea budget 2m, malumbano yanaruhusiwa!

kumbe unaelewa. kuna cresta gx100, namba A iko safi, ina dent kidogo tu kwenye bonet lakini gari mashine mbambabay kumsindikiza captain ni nyundo nusu kisha mguu. pia kuna chasser gx100 iko safi. zote zinapiga mzigo bila matatizo, bei ni 2.8M kila moja.
 
mi nina starlet ipo vizuri,test yake nenda mpaka moro na urudi,ikizngua natengeneza kwa hela yangu we katafute nyingne. Ama nakupa garantee mwez mzima,tumia uwezavyo iksumbua rudisha. Uktakata kuikagua njoo na fundi wako wa engine na fund wa bodi wakague wasiporidhka hata akiwa mmoja hajaridhka ucnunue,kwa humu ctahtaj maswal tena,we uni pm no.yako tuzungumze haina dalal,congez wala cpunguzi hata shiling kwenye offer yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom