Natafuta tenda ya kulisha chakula

Natafuta tenda ya kulisha chakula

mukabajulizi

Member
Joined
Aug 3, 2017
Posts
18
Reaction score
15
Ndugu zangu natafuta tenda ya kupika na kulisha watu chakula.Mwenye connection tafadhali njoo DM.nitashukuru
Niko kigamboni.
 
Tangazo lako halijakamilika!!! Sema upo wapi na ofisi yako inapatikana Wapi na uweke namba zako za simu, Acha kukurupuka
 
Back
Top Bottom