Dogo, Jitolee kupanda miti tatizo lenu wabongo mnataka viti vya
kuzunguka tu. Yuko Mzee mmoja anaishi Tabata, Shuka pale Jiandae
kituo kilichopo karibu na Kimanga mwisho, Mtaa wake unaitwa mtaa
wa mazingira, miti na usafi utakaouona hapo mtaani ni Juhudi zake
binafsi ni msomi na kaishi uingereza zaidi ya miaka kumi. Si unaomba ushauri
halafu ukishauriwa unalalamika!
form four unataka ualimu wa physics na chemistry kwa uwezo mkubwa, acha masihala wewe!
ungeniambia sayansi au sayansi kimu kule primary halafu ukajiita una uwezo mkubwa, sawa.
hivi ujajiuliza kwa nini haukuti form four leavers kwenye sekondari yoyoye serious wakifundisha?
punguza papara dogo tafuta kazi itakayolingana na sifa na vigezo vyako, hata kama bure unless iwe unauthorized institution.
Afterall, what do you need for? Ikiwa physics na chemistry za A-level zina uhusiano mdogo sana zile za o-level.
ktk topics zote 4 za chemistry A-level utakutana na organic na inorganic kidogo toka chemistry ya o-level vingine vyote vipya na muda hautoshi so wajanja kipindi hiki wanaanza mdogomdogo tution ya hiyo mambo kma unataka ufanye mambo A-level.
Sijasema nataka kufundisha sekondari bata primary si ilimradi kufundisha,nionavyo mimi sio papara coz kuna shule nyingi huko vijijini hawana walimu nannaweza kuwa msaada mkubwa kwa kipaji changu.Hata shule za primary si ilimradi nafundisha tu.Aliyekuwa Tanzania one wa mwaka jana alianza kufundisha akiwa kidato cha tatu na kutokana na hilo akaexpand uwezo wake wa kujieleza.Hata mimi nataka kuexpand uwezo wake wa kujieleza
Dogo acha mbwe mbwe! Watu wamemaliza Phd hawana kazi..we kaa nyumbani usaidie kuosha vyombo.
theetheteht!! jamani jf kuna vimbwanga!!Zipo za kufagia barabara na kupanda miti unaweza kujitoleaukibahatika utapata zawadi ya kuwa mwanamazingira boratena unaweza kupata bahati ya kupeana mkono na mkuuwa kaya!
Zipo za kufagia barabara na kupanda miti unaweza kujitolea
ukibahatika utapata zawadi ya kuwa mwanamazingira bora
tena unaweza kupata bahati ya kupeana mkono na mkuu
wa kaya!
Sijasema nataka kufundisha sekondari bata primary si ilimradi kufundisha,nionavyo mimi sio papara coz kuna shule nyingi huko vijijini hawana walimu nannaweza kuwa msaada mkubwa kwa kipaji changu.Hata shule za primary si ilimradi nafundisha tu.Aliyekuwa Tanzania one wa mwaka jana alianza kufundisha akiwa kidato cha tatu na kutokana na hilo akaexpand uwezo wake wa kujieleza.Hata mimi nataka kuexpand uwezo wake wa kujieleza
Sijasema nataka kufundisha sekondari bata primary si ilimradi kufundisha,nionavyo mimi sio papara coz kuna shule nyingi huko vijijini hawana walimu nannaweza kuwa msaada mkubwa kwa kipaji changu.Hata shule za primary si ilimradi nafundisha tu.Aliyekuwa Tanzania one wa mwaka jana alianza kufundisha akiwa kidato cha tatu na kutokana na hilo akaexpand uwezo wake wa kujieleza.Hata mimi nataka kuexpand uwezo wake wa kujieleza
mawazo ya ki-form four....ndani ya JF, ni kutupotezea muda.