Natafuta temporary job hata kwa kujitolea


Dogo, Jitolee kupanda miti tatizo lenu wabongo mnataka viti vya
kuzunguka tu. Yuko Mzee mmoja anaishi Tabata, Shuka pale Jiandae
kituo kilichopo karibu na Kimanga mwisho, Mtaa wake unaitwa mtaa
wa mazingira, miti na usafi utakaouona hapo mtaani ni Juhudi zake
binafsi ni msomi na kaishi uingereza zaidi ya miaka kumi. Si unaomba ushauri
halafu ukishauriwa unalalamika!

Sijalalamika ila ushauri wako umeutoa kwa lengo la kukujeli....nadhani hata wewe unajua sio ishu hizo
 
form four unataka ualimu wa physics na chemistry kwa uwezo mkubwa, acha masihala wewe!
ungeniambia sayansi au sayansi kimu kule primary halafu ukajiita una uwezo mkubwa, sawa.
hivi ujajiuliza kwa nini haukuti form four leavers kwenye sekondari yoyoye serious wakifundisha?
punguza papara dogo tafuta kazi itakayolingana na sifa na vigezo vyako, hata kama bure unless iwe unauthorized institution.
Afterall, what do you need for? Ikiwa physics na chemistry za A-level zina uhusiano mdogo sana zile za o-level.
ktk topics zote 4 za chemistry A-level utakutana na organic na inorganic kidogo toka chemistry ya o-level vingine vyote vipya na muda hautoshi so wajanja kipindi hiki wanaanza mdogomdogo tution ya hiyo mambo kma unataka ufanye mambo A-level.

Sijasema nataka kufundisha sekondari bata primary si ilimradi kufundisha,nionavyo mimi sio papara coz kuna shule nyingi huko vijijini hawana walimu nannaweza kuwa msaada mkubwa kwa kipaji changu.Hata shule za primary si ilimradi nafundisha tu.Aliyekuwa Tanzania one wa mwaka jana alianza kufundisha akiwa kidato cha tatu na kutokana na hilo akaexpand uwezo wake wa kujieleza.Hata mimi nataka kuexpand uwezo wake wa kujieleza
 
Punguza munkari kijana tafuta short course usome huku ukisubiri majibu
 
Sijasema nataka kufundisha sekondari bata primary si ilimradi kufundisha,nionavyo mimi sio papara coz kuna shule nyingi huko vijijini hawana walimu nannaweza kuwa msaada mkubwa kwa kipaji changu.Hata shule za primary si ilimradi nafundisha tu.Aliyekuwa Tanzania one wa mwaka jana alianza kufundisha akiwa kidato cha tatu na kutokana na hilo akaexpand uwezo wake wa kujieleza.Hata mimi nataka kuexpand uwezo wake wa kujieleza

uko wapi wewe? Njoo huku namanyere ufundishe primary,kuna walimu wawili tu,mkuu wa shule na makamu wake,wahi upate shavu
 
Dogo acha mbwe mbwe! Watu wamemaliza Phd hawana kazi..we kaa nyumbani usaidie kuosha vyombo.
 
Dah jamaa anasema anaweza mambo meengi, kamalizia na siasa, hahaha! Muone mtu mmoja anaitwa Nape! Atakusaidia!
 
Dogo acha mbwe mbwe! Watu wamemaliza Phd hawana kazi..we kaa nyumbani usaidie kuosha vyombo.

Si mbwebwe..hata ukuiwa professor kama sio mjanja kazi hupati....if you are a JF Senior Expert Member learn to comment kulingana na your status coz unaweza ukacomment ukawa unajidhalilisha
 
Zipo za kufagia barabara na kupanda miti unaweza kujitoleaukibahatika utapata zawadi ya kuwa mwanamazingira boratena unaweza kupata bahati ya kupeana mkono na mkuuwa kaya!
theetheteht!! jamani jf kuna vimbwanga!!
 
Zipo za kufagia barabara na kupanda miti unaweza kujitolea
ukibahatika utapata zawadi ya kuwa mwanamazingira bora
tena unaweza kupata bahati ya kupeana mkono na mkuu
wa kaya!

mhh JF! Nimeipenda hiyo. Maandalizi mema kwa wale wanaofanya mtihani ya board ya uhasibu -november.
 
Sijasema nataka kufundisha sekondari bata primary si ilimradi kufundisha,nionavyo mimi sio papara coz kuna shule nyingi huko vijijini hawana walimu nannaweza kuwa msaada mkubwa kwa kipaji changu.Hata shule za primary si ilimradi nafundisha tu.Aliyekuwa Tanzania one wa mwaka jana alianza kufundisha akiwa kidato cha tatu na kutokana na hilo akaexpand uwezo wake wa kujieleza.Hata mimi nataka kuexpand uwezo wake wa kujieleza

dogo humu JF inabidi ujue karibu 90% wamepita vyuo vikuu,kwahiyo unapoelekezwa vitu jaribu kuwa muelewa,Kabla ya yote inabidi ujue malengo yako.Mfano kuna kazi zingine haziitaji mbwembwe za kuongea ongea wala kujielezeaaaa,ila zinataka technical fitness.So kuhusu wewe fanya tu utumie hiki kipindi kupiga mapindi ucover vitu mapema ukianza advance mambo mteremko uli uwafulurizie mabanda NECTA,Hata hao unaowaiga ndio mifumo wanayoitumia hii maana wengi tumewashauri na wametoka kwa njia hizi.IF YOU DON'T STAND FOR SOMETHING YOU WILL END UP FALL FOR ANYTHING.
 
Sijasema nataka kufundisha sekondari bata primary si ilimradi kufundisha,nionavyo mimi sio papara coz kuna shule nyingi huko vijijini hawana walimu nannaweza kuwa msaada mkubwa kwa kipaji changu.Hata shule za primary si ilimradi nafundisha tu.Aliyekuwa Tanzania one wa mwaka jana alianza kufundisha akiwa kidato cha tatu na kutokana na hilo akaexpand uwezo wake wa kujieleza.Hata mimi nataka kuexpand uwezo wake wa kujieleza

mawazo ya ki-form four....ndani ya JF, ni kutupotezea muda.
 
mawazo ya ki-form four....ndani ya JF, ni kutupotezea muda.

JF is an open network for everyone,wadau anayesema hivi si anawatukana hata wasiosoma ambao ni kiasi kikubwa cha watanzania.Me nadhani yeye ndo ana mawazo finyu ya kushindwa hata kung'amua anachoandika.Wadau me naona watu wengine wanakurupuka tu kutoa comments
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom