Natafuta Supplier wa Maembe jumla

Natafuta Supplier wa Maembe jumla

Adenitouh

Member
Joined
Jan 5, 2016
Posts
27
Reaction score
37
Habari wadau wa JF, nahitaji supplier wa maembe mzigo wa jumla ndani ya mwaka mzima. Kwa mwenye taarifa yoyote yenye kusaidia anaweza nitafuta kwa 0756958798 muda wowote.

IMG_0810.JPG
 
Maembe mbegu gani? Hamna mwembe ambao kila siku una matunda, embe Ni tunda la msimu.

Unataka kilo ngapi kwa siku, wiki, mwezi, mwaka?
 
Maembe mbegu gani? Hamna mwembe ambao kila siku una matunda, embe Ni tunda la msimu.

Unataka kill ngapi kwa siku, wiki, mwezi, mwaka?

Maembe dodo au jamii ya dodo, maembe yenye ladha na sukari. Idadi ni Tenga kubwa kwa wiki.
 
Habari wadau wa JF, nahitaji supplier wa maembe mzigo wa jumla ndani ya mwaka mzima. Kwa mwenye taarifa yoyote yenye kusaidia anaweza nitafuta kwa 0756958798 muda wowote.

View attachment 1499553
Mkuu Umeshindwa kuziudumia maana zina makovu sana,unaishusha thamani hiyo embe.Angalia uchumaji na Kuna dawa pia unaweza piga.Ungekuwa walau Canter tungeseti mitambo ila hizo tenga ziuzie Shamba hapo hapo na wanunuzi wadogo.
 
Mkuu Umeshindwa kuziudumia maana zina makovu sana,unaishusha thamani hiyo embe.Angalia uchumaji na Kuna dawa pia unaweza piga.Ungekuwa walau Canter tungeseti mitambo ila hizo tenga ziuzie Shamba hapo hapo na wanunuzi wadogo.

Mkuu, natafuta maembe pia. Mimi siuzi. Kwahiyo kama unaweza kuniunganisha na mtu mwenye kuuza itapendeza.
 
Mkuu, natafuta maembe pia. Mimi siuzi. Kwahiyo kama unaweza kuniunganisha na mtu mwenye kuuza itapendeza.
Sawa mkuu sikukuelewa.Maembe ni tunda la msimu.Vuta Subira.
 
Back
Top Bottom