ni wapi huko mkuu?Bora huko Huku kwetu 36000
Hiyo bei ipo juu sana nilipo Gunia ni 24000 nambie upo sehemu gani nilete tufanye biasharawadau naomba kufahamu maeneo mbali mbali hapa nchini bei ya mahindi ni shilingi ngapi?
natafuta soko zuri maana nina mzigo wa stock, maeneo nilipo bei ipo chini sana ni tsh 48,000/=
msaada wadau!!!
shukuru kama kuna hiyo 48 sababu huku nilipo ni 35wadau naomba kufahamu maeneo mbali mbali hapa nchini bei ya mahindi ni shilingi ngapi?
natafuta soko zuri maana nina mzigo wa stock, maeneo nilipo bei ipo chini sana ni tsh 48,000/=
msaada wadau!!!
Daah kweli inauma jamaa kweli kama kaona hiyo 48,000/= ndogo na alikataa lazima apate temporary depression.Hiyo bei ipo juu sana nilipo Gunia ni 24000 nambie upo sehemu gani nilete tufanye biashara
Huku Geita vijijini mahindi yanauzwa shilingi 4000 debe lakini hakuna wa kununua watu wanayaangalia tuDaah kweli inauma jamaa kweli kama kaona hiyo 48,000/= ndogo na alikataa lazima apate temporary depression.