Wadau nina bidhaa ya UNGA WA UBUYU, natafuta soko, ninao unga wa kutosha na bado naendelea kuuzalisha, mwenye kuhitaji awasiliane nami kwa namba zifuatazo 0712700280/0766550881. Napatikana Dodoma, karibu na Dodoma Hoteli ( Opposite Station ya Reli)
wewe TFDA watakupigia watajifanya wateja halafu watahuharibu wote huo, bora unyamaze uuze kimya kimya, maana mamlaka ile siku hizi haieleweki, sijui wanafanya kazi kwa hisia? mara unafaa mara ni hatari kwa binadamu. ila soko lake kwa dar ni zuri sana.
hao tfda ni hivi ni watanzania kweli!!?
Haya mambo ya asilimia 10 cjui yataisha lini?
...eti unaleta kansa!!?hivi hyo kansa imeanza miaka hii?
Watz acheni ujinga!
Tunajua sana km hyo kitu imefanywa na hawa wenye bidhaa za kutoka nje ya nchi baada ya kuona zao haiuzi na watu,wakaamua kwenda huko kwa wakubwa ili kuharibu soko la ubuyu!
...hebu jiulize ubuyu umeanza kuliwa lini, na hakuna kemikali kinachoongezwa ss hyo kansa inatoka wapi?
na lini umefanyika huo utafiti kuwa unaleta kansa?
..wazungu wataendelea kuwatawala!
..pendeni vya kwenu!