Kweli kuacha kazi kwa kutegemea kilimo cha kitanzania ni mtihani,na wachina wamekimbia na wanasiasa walioshawishi kilimo cha muhogo.mbaazi kg 150,nyanya ndoo kubwa 2000.Tujitafakari maana watu wamechapa ila hola.(Kuna Uzi jamaa anataka kuacha kazi akalime..nb.gunia LA mahindi 18000)