...unauzaje huo mchele??Habari vijana wenzangu
Mi ni mkulima maeneo ya shinyanga nilietafuta soko la mchele wngu kwa muda mrefu bila mafanikio. Nimelima kiasi cha zaid ya tan52 ninaomba muongozo kwa mwenye kujua masoko ya ndani na nnje ya nnchi
...unauzaje huo mchele??
Toa taarifa za kina ili mtu afanye analysis kabisa kabla ya kukutafuta
Habari? Bei ya jumla mchele wa kahama grade 1 na grade 2 unauzaje? Mimi nipo arushaNimekua nikiuza mchele hapa Dar es salaam kwa muda mrefu sana na bei inategemea na sehemu ambapo mnunuzi atapanga afikishiwe. Mfano: Kwa Dar es salaam bei ni 1050-1800 kulingana na makubaliano. Kwa mimi pia mnunuzi itabid achague ni mchele wa aina gan anaouhitaj maana mchele unapangiwa bei kulingana na muonekano wake na pia mbegu iliotumika. nikimaanisha kwa kiasi icho cha tan52 sio aina moja ya mchele. Kwaio bei itakua ni kukubaliana
Nijibu mapema kabla sijaondoka kesho kwenda kahama kutafuta mcheleNimekua nikiuza mchele hapa Dar es salaam kwa muda mrefu sana na bei inategemea na sehemu ambapo mnunuzi atapanga afikishiwe. Mfano: Kwa Dar es salaam bei ni 1050-1800 kulingana na makubaliano. Kwa mimi pia mnunuzi itabid achague ni mchele wa aina gan anaouhitaj maana mchele unapangiwa bei kulingana na muonekano wake na pia mbegu iliotumika. nikimaanisha kwa kiasi icho cha tan52 sio aina moja ya mchele. Kwaio bei itakua ni kukubaliana
Unahitaji kiasi gan brother... Na mchele ambao haujakatika kabisa wewe unanunua shiling ngapNijibu mapema kabla sijaondoka kesho kwenda kahama kutafuta mchele
Email: ibrahim_abeid@yahoo.com ....Niambie unahitaji kiasi gan grade 1 na 2 na upo Arusha maeneo gani ili nikutumie sample iliopo halafu tupatane bei. Namba ya sim: 0713 778792Nijibu mapema kabla sijaondoka kesho kwenda kahama kutafuta mchele
Ukichukua mwngi tutarekeebishiana tutaelewana nashindwa kutaja bei maana naweza leta mchele mzur kuliko grade 1 unayoisema wewe pia kwaio nashauri unichek.Daaah hapo kwenye kutuma sample sijui itakuwaje maana nimepanga kuondoka kesho asubuhi hadi kahama .anyway ntakucheck ktk namba yako