Wadau habarini, mimi niko Arusha na nimefuga kuku wa kisasa na wameshaanza kutaga mayai kiini cha njano, naweza kusuply tray 100 kila baada ya siku 5, yeyote mwenye kujua soko anicheki, asanteni
Wadau habarini, mimi niko Arusha na nimefuga kuku wa kisasa na wameshaanza kutaga mayai kiini cha njano, naweza kusuply tray 100 kila baada ya siku 5, yeyote mwenye kujua soko anicheki, asanteni
Wadau habarini, mimi niko Arusha na nimefuga kuku wa kisasa na wameshaanza kutaga mayai kiini cha njano, naweza kusuply tray 100 kila baada ya siku 5, yeyote mwenye kujua soko anicheki, asanteni