Natafuta soko la Limao nipo Morogoro

Bingwa tz

Member
Sep 26, 2019
58
55
Poleni na majukumu wana JF, Natafuta soko la Limao

Lengo la kuanzisha uzi huu ni kushirikiana na mdau yeyote.

Kama wewe huko ulipo bei inalipa basi tushirikiane na nna uwezo kukusanya tenga moja kwa siku lenye malimao 1,000 hadi 1,500.

Manunuzi :- Kuhusu bei ya kununulia kwa huku ni 50 tsh limao dogo na kubwa ni 100 tsh.

Natanguliza shukrani kwa wale wadau ambao hawatakuwa wachoyo wa kununyima ushirikiano ktk mchongo huu.

2172782_FB_IMG_15673136868123964.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_15673136868123964.jpg
    FB_IMG_15673136868123964.jpg
    70 KB · Views: 43
Kuna swali hua najiuliza,hivi haya malimao ninayo yaona kila siku sokoni maana yake kuna watu hua wamelima milimao au?Na kama yapo ni mikoa gani wanalima?

Maana sijawahi kuona mashamba ya malimao kama ambavyo nimeona ya machungwa/machenza.

All the best mtoa mada.
 
Nilichogundua hapa kwenye huu Uzi wengi hamjui kuhusu malimao . Malimao kibiashara yako hivi
Kuna msimu Malimao ni mengi sana kama kuanzia mwezi wa Pili mpaka wa Tisa hivi
Na kuanzia mwezi wa kumi Malimao hayapatikani sana mpaka mwezi wa kwanza.
Kwasababu kipindi hicho(10-1) mwezi Malimao huwa yanapatikana mpaka Uganda huko kuja moshi na dar.
Sasa na hiki ndicho kipindi ndo maana unaona yanauzwa bei ghali sana.

Jaribu kujua nyakati
 
Poleni na majukumu wana jf, Natafuta soko la Limao

Lengo la kuanzisha uzi huu ni kushirikiana na mdau yeyote.

Kama wewe huko ulipo bei inalipa basi tushirikiane na nna uwezo kukusanya tenga moja kwa siku lenye malimao 1,000 hadi 1,500.

Manunuzi :- Kuhusu bei ya kununulia kwa huku ni 50 tsh limao dogo na kubwa ni 100 tsh.

Natanguliza shukrani kwa wale wadau ambao hawatakuwa wachoyo wa kununyima ushirikiano ktk mchongo huu.
Morogoro upo sehemu gani mkuu
 
Back
Top Bottom