Bingwa tz
Member
- Sep 26, 2019
- 58
- 55
Poleni na majukumu wana JF, Natafuta soko la Limao
Lengo la kuanzisha uzi huu ni kushirikiana na mdau yeyote.
Kama wewe huko ulipo bei inalipa basi tushirikiane na nna uwezo kukusanya tenga moja kwa siku lenye malimao 1,000 hadi 1,500.
Manunuzi :- Kuhusu bei ya kununulia kwa huku ni 50 tsh limao dogo na kubwa ni 100 tsh.
Natanguliza shukrani kwa wale wadau ambao hawatakuwa wachoyo wa kununyima ushirikiano ktk mchongo huu.
Lengo la kuanzisha uzi huu ni kushirikiana na mdau yeyote.
Kama wewe huko ulipo bei inalipa basi tushirikiane na nna uwezo kukusanya tenga moja kwa siku lenye malimao 1,000 hadi 1,500.
Manunuzi :- Kuhusu bei ya kununulia kwa huku ni 50 tsh limao dogo na kubwa ni 100 tsh.
Natanguliza shukrani kwa wale wadau ambao hawatakuwa wachoyo wa kununyima ushirikiano ktk mchongo huu.