Kwa muonekano huo wa nje wanaume wengi au executive hawatanunuaHii nje ni kitambaa ila kwa ndani nimeweka ngozi
Zingine hiziView attachment 2901227Niko naendelea kuboresha michoro yangu siku hadi sikuView attachment 2901225
Ni sawa ila kwa sasa mtaji wangu bado ni mdogo kufikia kiwango cha begi hizoTengeneza zinazofanania hivi;-
View attachment 2901226
Fungua akaunti fb isome jina la biashara yako, pakia bidhaa unazozalisha; kisha serch looking for business partner n.kNiko naendelea kuboresha michoro yangu siku hadi sikuView attachment 2901225
Kwa muonekano huu, wanunuzi watakuwa ni watalii
Utafika tu, muhimu malengoNi sawa ila kwa sasa mtaji wangu bado ni mdogo kufikia kiwango cha begi hizo
ils nitafight mpaka siku nije kutengeneza kama hizo
asante kwa wazo
Ukifanikiwa kumpata mzungu mmoja mtalii, umwambie afungue tawi abroad uwe unamtumia mzigoHii inamaana soko lipo mahali wanapoingia watalii
Asante umenifungua sana
Hapana bro hivi vitu vinajenga sana kuliko kusifiwa sifiwa tu, hutojua wapi unakoseaHebu watumiaji wa jf, tupunguze ujuaji wa kiboya kwenye biashara za watu. Mara weka ngozi, mara executive hawatanunua. Executive yanhoko.
Place order hata moja hakuna. Kutoa kasoro ndio number one. Acheni sifa kwenye hela za watu.
Watu waliokosa exposure wanachangia pumba tuHapana bro hivi vitu vinajenga sana kuliko kusifiwa sifiwa tu, hutojua wapi unakosea
kuna kukosoa constructively na mtu kutafuta masifa kwa kazi au matatizo ya wengine[a common thing hapa jf]. Sema kwa kesi ya jamaa, nimemkosea, alikua na ushauri mzuri wa marketing.Hapana bro hivi vitu vinajenga sana kuliko kusifiwa sifiwa tu, hutojua wapi unakosea
Kama yale maudhui yangu yanavyosema hii ni ngumu, inaubora na iko simple tu ila unaweza weka vitu vyako vingi na kubeba bila shida yoyoteArusha naviona sana na wadada fulani slays hivi wanavibeba sana, najiuliza mbunifu wa huu mtindoni nani na ananufaika vipi na huu ubunifu wake. Bado sijapata majibu.