DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 805
Tayari umeipata mkuu shukrani sana kwa ushirikiano mzuri.NAOMBA NAMBA YAKO PM KAKA
0715249110Mzigo upo Singida wa kutosha ata ukihitaji tani100 unapata.
Bei ni 2m kwa tani maongezi yapo.
Nimekupata mkuu.0715249110
Check your PM please!Mkuu nimekuPM muda mrefu Sana naona kimya,naomba nipigie au nipe no yako nikucheki fasta,nina mteja Mombasa Kenya anautaka huo mzigo wote na yupo tayari kufika hapo Singida haraka sana,but mzigo uwe ni stock ya mwaka huu.Nipigie nimekuwekea no au nipe no yako nikupigie mm tafadhali.