Mhdiwani JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 650 Reaction score 712 Feb 12, 2017 #1 Habari zenu waungwana bila shaka mko poa lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuomba kama kuna mdau anaefaham soko la bamia kwa dar,, nina bamia la kutosha nalimia bagamoyo ,,navuna kila baada ya siku moja
Habari zenu waungwana bila shaka mko poa lengo la kuanzisha Uzi huu ni kuomba kama kuna mdau anaefaham soko la bamia kwa dar,, nina bamia la kutosha nalimia bagamoyo ,,navuna kila baada ya siku moja