mi mwenyewe nina mikono midogo nitawezana nayo na kikubwa ilichonivutia ni kaumbo kake kalivyo kadogo na specs za ukweli hivyo itanifaa. Maana hapa nina N80 na 5230 hii Nokia 5230 inanivurtga tachi yake mbaya maana inatumia TFT RESISTIVE TOUCH SCREEN ina Kipeni chake kabisa. Na kwenye Lumia 625 nafuata 4G na Os, pia naifikilia ios huko nitakachofuata ni icloud na Design yake maana nimeipenda iphone 5 nikaulizia bei nikaambiwa 350k sasa sijajua ni 16GB,32GB au 64GB? 5s sijui bei yake inasimamaje.