Natafuta software development team au teammates

KnucleBreaker

Member
Joined
Jan 10, 2022
Posts
23
Reaction score
29
Habari wakuu,

Mimi ni muhitimu wa shahada ya mawasiliano, vile vile nafanya web application na mobile application development.
  • Nina uzoefu wa kutosha na Object Oriented Programming
  • Ninadesign na kudevelop backend sytems kwa PHP na Laravel Framework
  • Database management and designing
  • Git and GitHub version control systems, collaboration workflows, etc.
  • Basic Frontend skills, km HTML, CSS, JavaScript & JQuery na Bootstrap. (Najifunza React)
-Mobile Apps (specifically iOS apps.)

So, natafuta team ya kujoin au individuals, vijana wenzangu ambao wapo determined na wana passion na hii career, tupige kazi.

Kama una frontend development skills (frameworks e.g. React, Angular au Svelte, etc) itakuwa vizuri zaidi, ila vinginevyo pia ni sawa. Learning Materials yapo, vitabu, udemy courses, nk.

Lengo ni kujiajiri kama vijana, na kutatua changamoto zinazozunguka mazingira yetu ya kila siku.

Asanteni, nawakilisha.
 
hongera sana,so kwa sisi wenye interest na software development na ndio newbie (self taught) kwenye tasnia ya IT, nazurura kwenye platform kama freecodecamp.org na xaxa am looking forward to specialize in puppet,java,SEO,SQL i.e vp hatuna nafasi ya kujiunga na team hapo mbeleni.
 

Asante ndugu, hongera pia na ww kwa hatua uliyofika. Haina shida, tutawasiliana mkuu la muhimu ni commitment na kuwa ready kujifunza at anytime.
 
Reactions: Sax
Kuna ndugu yangu anatafuta developer wa kumwajiri awe na ABCs tu siyo mtaalam. Akipatikana nifahamishe.
 
Natumia Angular frontend, Springboot/laravel backend. Nipo wazi kwa remote work . (Nipo chuo bado)
 
Mimi najua kwenye computer science au programming kazi huwa ndio zinaongea. Mngeweka portfolio website zenu au hata GitHub hapo mngekua mmenena kivitendo zaidi.
 
 
Mimi ni software developer. Tunaweza tukaungana. Contact +255653188013
 
Wazo zuri sana πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½
 
Nitafanue nini! Kama wewe ni developer, jitokeze kazi ni nyingi
niliona kama naweza kufanya kazi na huyo jamaa yako uliyesema anatafuta developer lakini awe anajua ABCs na asiwe mtaalamu...
 
niliona kama naweza kufanya kazi na huyo jamaa yako uliyesema anatafuta developer lakini awe anajua ABCs na asiwe mtaalamu...
Umeacha neno muhimu la siyo lazima awe mtaalam
 
Mm ni full stark developer. Unaweza kunita DevOps Namba zangu #43. Na nipo nafanya kazi remote ktk company kama thenewboston, remotemore na zenginezo. Nna experience ya miaka 8 now.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…