Luccy Godwin
Member
- Feb 15, 2013
- 20
- 0
Nina shahada ya ADULT AND COMMUNITY EDUCATION kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam kwa sasa nipo kahama, contact:Luccy_8@hotmail.com
Kama ni she nitakusaidia... ni pm kama ni he usijisumbue hatakuni pm...
Asante kwa kunisaidia ndugu yangu jamaa hasomeki uwezo wake wa kufikiri umeishia kwenye the thn he posses btn his legs not otherwisehuu utu au ??? learn to act as a perfect human being, toa ajira co ngono na ujinga kama huu.
unasubiri utu?huu utu au ??? learn to act as a perfect human being, toa ajira co ngono na ujinga kama huu.
kumbe na wewe ni boooyaaaaa....??? unawaza chini tu...utasoma plate number tu...Kama ni she nitakusaidia... ni pm kama ni he usijisumbue hatakuni pm...
unasubiri utu?
endelea kusubiri utu katika century hii ya 21
kati ya watu ambao ni ovyo wasiokuwa na haya basi nawewe ni mmoja wao.ila bora hata wewe kwa kuwa umeamua kuuanika upimbi wako.chunga sana hii ni sehemu ya kusaidiana ktk kujenga wala siyo kuvunja jiheshimu sana wewe kizazi cha .comkama ni she nitakusaidia... Ni pm kama ni he usijisumbue hatakuni pm...
Kama ni she nitakusaidia... ni pm kama ni he usijisumbue hatakuni pm...
Mwambie huyo akumbuke DUNIA ni duaraWhat goes around comes around...kw hayo unayoyafanya kama haitakuja kumtokea mke wako basi mwanao au mamayako. Watch ur step
Mwambie huyo akumbuke DUNIA ni duara