Only line 1 mkuu,thats why nimesisitiza kwa kusema kama ukikosa kabisa,model X2-01,npo arusha bei 120,000.call 0756597108mkuu inauwezo wa laini 2? x2 model gani? sh ngapi bei? unapatikana wapi?
isiwe ya uwizi
iwe orijino
iwe na uwezo wa kuchuka laini 2
iwe haijatumika sana au ipo kwenye hali nzuri,
pesa cash iliyopo ni sh elfu50, pesa inaweza kuwa adjusted.
napatikana Ubungo, Dar Es Salaam.
send me pm or call 0714345958
Nenda kkoo kabisa kaka.
sijawaomba ushauri, asanteni kwa ushauri. nimeshanunua vitu vingi tu humu jf na vyote vinafanaya kazi vizuri hadi leo. acheni kupotosha watu kuhusu vitu vinavyouzwa jf.Mimi nakushauri nenda dukani utakuja kuchukuwa kimeo uje utowe lawama kumbuka ndugu rahisi gali
sijawaomba ushauri, asanteni kwa ushauri. nimeshanunua vitu vingi tu humu jf na vyote vinafanaya kazi vizuri hadi leo. acheni kupotosha watu kuhusu vitu vinavyouzwa jf.
kama unapesa zaidi nichek nikupe nokia e6 inatumia symbian belle
nicheki hapa tufanye biashara 0687425054ile nokia e6 ulishauza?