Natafuta simu S5 au note4 original

Natafuta simu S5 au note4 original

nauza laptop ni dell ya kisasa inatumia window 8 ina hard disk gb 2 ram mb 80 prosecor 2.6 bado ina upya naiuza lakimbili na nusu.niko dar
 
nauza laptop ni dell ya kisasa inatumia window 8 ina hard disk gb 2 ram mb 80 prosecor 2.6 bado ina upya naiuza lakimbili na nusu.niko dar
Yaan hizi specs ni kama za simu, au ni maalum kwa watoto wa chekechea kujifunza ku type?
 
Kwani S5 si ni iPhone au ni brand gani hiyo? Ni vizuri mkawa specific kwny kuandika

we jamaa unajifanyaga unajua kwa baadh ya threads ila kumbe ni ng'ombe tu

eti s5 ni iphone, hujui tofautisha hata iphone na samsung! mbuzi wewe
 
pata cm kali kwa sniper njoo inbobo nkupe nomber htc huawei sony samsung galaxy
 
Note 4 mpya ipo.... Na power bank yake original....bei ni 950,000 vyote kwa pamoja....sababu ya kuuza: nimepatwa na dharula
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom